ZIADA

Sport
– Mchango wako ni mhimu kwangu –

Gadi Sedekia

akiwa Longido, Arusha, Tanzania .

SHALOM!
Mimi naitwa Gadi sedekia, naishi Arusha,ni mdogo wa kuzaliwa na aliyekuwa mwimbaji wa nyimbo za injili Tanzania, marehemu Fanuel Sedekia, pia nami ni mwimbaji wa nyimbo za injili. ( Baadhi ya kazi zangu ziko youtube kwa jina la Gadi sedekia)nimewiwa kuja kwako kwa unyenyekevu mkubwa kuomba msaada wako wa hali na mali kama mtanzania kunichangia mchango wa kupandikizwa Figo.

Kwanza kabisa nlipata tatizo la sukari ya utotoni ambapo kwa miaka 16 nimekuwa nikiishi kwa kuchoma sindano za insulin mara mbili kwa kutwa asubuhi na jioni

Kwa sasa nlipata tatizo la presha na kupata dalili za Figo kushindwa kufanya kazi vizuri, baadae Figo zilishindwa kabisa kufanya kazi ndipo nilipoanza kupata huduma ya kusafisha damu (Hemodialysis)

previous arrow
next arrow

Kazi ya Maabara Hospitalini

Hii ni kazi ya utaalam wa maabara hospitalini ambayo Gadi ni mtaalam na aliisomea.